Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mnapaswa kumpa kwa ukarimu,+ nanyi hampaswi* kumpa huku mkinung’unika, kwa sababu hiyo Yehova Mungu wenu atabariki kila kazi na kila jambo mnalofanya.+ 11 Kwa maana sikuzote kutakuwa na maskini nchini.+ Ndiyo sababu ninawaamuru hivi: ‘Mnapaswa kumfumbulia mkono wenu kwa ukarimu ndugu yenu anayeteseka na maskini katika nchi yenu.’+

  • Methali 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+

      Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+

  • Luka 14:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini unapoandaa karamu, waalike maskini, viwete, vilema, na vipofu;+ 14 nawe utakuwa mwenye furaha, kwa sababu hawana kitu cha kukulipa. Kwa maana utalipwa katika ufufuo+ wa waadilifu.”

  • Waebrania 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuhudumu na kuendelea kuwahudumia watakatifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki