Methali 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Usiwanyime mema wale unaopaswa kuwatendea mema*+Ikiwa una uwezo wa kuwasaidia.*+ Mathayo 5:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Mpe yule anayekuomba, wala usimpe kisogo yule anayetaka umkopeshe.*+ Luka 12:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Uzeni mali zenu na kutoa zawadi za rehema.*+ Tengenezeni mikoba ya pesa isiyochakaa, hazina isiyopungua huko mbinguni,+ ambako mwizi hawezi kufika wala nondo* hali.
33 Uzeni mali zenu na kutoa zawadi za rehema.*+ Tengenezeni mikoba ya pesa isiyochakaa, hazina isiyopungua huko mbinguni,+ ambako mwizi hawezi kufika wala nondo* hali.