20 Badala yake, jiwekeeni hazina mbinguni,+ ambako hazitaliwa na nondo* wala kutu,+ na ambako wezi hawatavunja na kuiba. 21 Kwa maana mahali ilipo hazina yako, ndipo moyo wako utakapokuwa pia.
18 Waambie watende mema, wawe matajiri katika matendo mazuri, wawe wakarimu, tayari kushiriki vitu na wengine,+19 wakijiwekea salama hazina ya msingi mzuri kwa ajili ya wakati ujao,+ ili waushike imara uzima ulio wa kweli.+