Mambo ya Walawi 25:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Usimtoze riba au kujipatia faida kutoka kwake.+ Ni lazima umwogope Mungu wako,+ na ndugu yako ataendelea kuwa hai kama wewe. Kumbukumbu la Torati 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Usimtoze riba ndugu yako,+ iwe ni riba ya mkopo wa pesa, chakula, au kitu chochote kinachoweza kutozwa riba.
36 Usimtoze riba au kujipatia faida kutoka kwake.+ Ni lazima umwogope Mungu wako,+ na ndugu yako ataendelea kuwa hai kama wewe.
19 “Usimtoze riba ndugu yako,+ iwe ni riba ya mkopo wa pesa, chakula, au kitu chochote kinachoweza kutozwa riba.