Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Ukimkopesha pesa mtu yeyote maskini miongoni mwa watu wangu, mtu anayeishi nawe, usiwe kama mtu anayemkopesha pesa.* Hupaswi kumtoza riba.+

  • Mambo ya Walawi 25:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Usimtoze riba au kujipatia faida kutoka kwake.+ Ni lazima umwogope Mungu wako,+ na ndugu yako ataendelea kuwa hai kama wewe. 37 Usimkopeshe pesa kwa riba+ au kumpa chakula ili upate faida.

  • Nehemia 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Zaidi ya hayo, mimi, ndugu zangu, na watumishi wangu tunawakopesha pesa na nafaka. Tafadhali, tuache kukopesha kwa riba.+

  • Zaburi 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+

      Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+

      Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki