Kutoka 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ukimkopesha pesa mtu yeyote maskini miongoni mwa watu wangu, mtu anayeishi nawe, usiwe kama mtu anayemkopesha pesa.* Hupaswi kumtoza riba.+ Mambo ya Walawi 25:36, 37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Usimtoze riba au kujipatia faida kutoka kwake.+ Ni lazima umwogope Mungu wako,+ na ndugu yako ataendelea kuwa hai kama wewe. 37 Usimkopeshe pesa kwa riba+ au kumpa chakula ili upate faida. Nehemia 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Zaidi ya hayo, mimi, ndugu zangu, na watumishi wangu tunawakopesha pesa na nafaka. Tafadhali, tuache kukopesha kwa riba.+ Zaburi 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+ Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+
25 “Ukimkopesha pesa mtu yeyote maskini miongoni mwa watu wangu, mtu anayeishi nawe, usiwe kama mtu anayemkopesha pesa.* Hupaswi kumtoza riba.+
36 Usimtoze riba au kujipatia faida kutoka kwake.+ Ni lazima umwogope Mungu wako,+ na ndugu yako ataendelea kuwa hai kama wewe. 37 Usimkopeshe pesa kwa riba+ au kumpa chakula ili upate faida.
10 Zaidi ya hayo, mimi, ndugu zangu, na watumishi wangu tunawakopesha pesa na nafaka. Tafadhali, tuache kukopesha kwa riba.+
5 Hakopeshi pesa zake kwa faida,+Naye hakubali rushwa ili kumkandamiza asiye na hatia.+ Yeyote anayefanya mambo hayo hatatikiswa kamwe.*+