Zaburi 16:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nitamsifu Yehova, ambaye amenipa ushauri.+ Hata wakati wa usiku, mawazo yangu ya ndani kabisa* hunirekebisha.+ 8 Ninamweka Yehova mbele yangu daima.+ Kwa sababu yuko mkono wangu wa kulia, sitatikiswa kamwe.*+ Methali 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hakuna mtu anayekuwa salama kwa kutenda uovu,+Lakini waadilifu hawatang’olewa kamwe. 2 Petro 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo, akina ndugu, jitahidini hata zaidi ili kufanya mwito+ na kuchaguliwa kwenu kuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe, kwa maana mkiendelea kufanya mambo hayo, hamtashindwa kamwe.+
7 Nitamsifu Yehova, ambaye amenipa ushauri.+ Hata wakati wa usiku, mawazo yangu ya ndani kabisa* hunirekebisha.+ 8 Ninamweka Yehova mbele yangu daima.+ Kwa sababu yuko mkono wangu wa kulia, sitatikiswa kamwe.*+
10 Kwa hiyo, akina ndugu, jitahidini hata zaidi ili kufanya mwito+ na kuchaguliwa kwenu kuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe, kwa maana mkiendelea kufanya mambo hayo, hamtashindwa kamwe.+