Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 16:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nitamsifu Yehova, ambaye amenipa ushauri.+

      Hata wakati wa usiku, mawazo yangu ya ndani kabisa* hunirekebisha.+

       8 Ninamweka Yehova mbele yangu daima.+

      Kwa sababu yuko mkono wangu wa kulia, sitatikiswa kamwe.*+

  • Methali 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hakuna mtu anayekuwa salama kwa kutenda uovu,+

      Lakini waadilifu hawatang’olewa kamwe.

  • 2 Petro 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo, akina ndugu, jitahidini hata zaidi ili kufanya mwito+ na kuchaguliwa kwenu kuwe hakika kwa ajili yenu wenyewe, kwa maana mkiendelea kufanya mambo hayo, hamtashindwa kamwe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki