-
Matendo 2:25-28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Kwa kuwa Daudi anasema hivi kumhusu: ‘Nimemweka Yehova* mbele yangu* daima, kwa maana yuko mkono wangu wa kulia ili nisitikiswe kamwe. 26 Kwa hiyo moyo wangu ulichangamka na ulimi wangu ukashangilia sana. Nami nitaishi* katika tumaini; 27 kwa sababu hutaniacha* Kaburini,* wala hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.*+ 28 Umenijulisha njia za uzima; utanijaza shangwe nyingi mbele zako.’*+
-