Zaburi 16:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninamweka Yehova mbele yangu daima.+ Kwa sababu yuko mkono wangu wa kulia, sitatikiswa kamwe.*+ Zaburi 63:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninashikamana nawe;Mkono wako wa kuume hunishika kwa nguvu.+ Isaya 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’
10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’