Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 16:8-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ninamweka Yehova mbele yangu daima.+

      Kwa sababu yuko mkono wangu wa kulia, sitatikiswa kamwe.*+

       9 Kwa hiyo moyo wangu unashangilia, nafsi yangu yote ina* shangwe.

      Nami ninaishi* kwa usalama.

      10 Kwa maana hutaniacha* Kaburini.*+

      Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.*+

      11 Unanijulisha njia ya uzima.+

      Shangwe tele iko mbele zako;*+

      Kuna furaha* kwenye mkono wako wa kuume milele.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki