Zaburi 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Unamfanya awe na baraka milele;+Unamfanya afurahi kwa shangwe ya kuwa mbele zako.*+ Mathayo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Wenye furaha ni wale walio safi moyoni,+ kwa kuwa watamwona Mungu.