Zaburi 24:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+Na ni nani anayeweza kusimama mahali pake patakatifu? 4 Yeyote mwenye mikono isiyo na hatia na mwenye moyo safi,+Ambaye hajaapa kwa uwongo kwa uhai Wangu,*Wala kuapa kwa udanganyifu.+ Zaburi 73:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 73 Kwa kweli Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale walio safi moyoni.+
3 Ni nani anayeweza kuupanda mlima wa Yehova,+Na ni nani anayeweza kusimama mahali pake patakatifu? 4 Yeyote mwenye mikono isiyo na hatia na mwenye moyo safi,+Ambaye hajaapa kwa uwongo kwa uhai Wangu,*Wala kuapa kwa udanganyifu.+