Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Laiti ungenificha Kaburini,*+

      Ungenificha mpaka hasira yako ipite,

      Laiti ungenipimia wakati hususa na kunikumbuka!+

      14 Mtu akifa, je, anaweza kuishi tena?+

      Nitangojea sikuzote za utumishi wangu wa kulazimishwa

      Mpaka kitulizo changu kitakapokuja.+

  • Matendo 13:34-37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na uhakika wa kwamba Yeye alimfufua kutoka kwa wafu ili asirudi tena kwenye uharibifu, Yeye ameutaja kwa njia hii: ‘Nitawaonyesha upendo mshikamanifu, ambao ni wa uaminifu,* alioahidiwa Daudi.’+ 35 Pia, zaburi nyingine inasema: ‘Hutamruhusu mshikamanifu wako aone uharibifu.’*+ 36 Kwa upande wake, Daudi alimtumikia Mungu* katika kizazi chake mwenyewe, akalala usingizi katika kifo, akazikwa pamoja na mababu zake, naye akaona uharibifu.*+ 37 Kwa upande mwingine, yule ambaye Mungu alimfufua hakuona uharibifu.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki