Yohana 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, ataishi tena; Matendo 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Kwa nini mnafikiri* kwamba ni jambo lisilowezekana kwa Mungu kuwafufua wafu? 1 Wakorintho 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi ikiwa inahubiriwa kwamba Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ kwa nini wengine kati yenu wanasema hakuna ufufuo wa wafu? Ufunuo 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na bahari ikawatoa wafu waliokuwa ndani yake, na kifo na Kaburi* vikawatoa wafu waliokuwa ndani yake, nao wakahukumiwa kila mmoja kulingana na matendo yake.+
12 Basi ikiwa inahubiriwa kwamba Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ kwa nini wengine kati yenu wanasema hakuna ufufuo wa wafu?
13 Na bahari ikawatoa wafu waliokuwa ndani yake, na kifo na Kaburi* vikawatoa wafu waliokuwa ndani yake, nao wakahukumiwa kila mmoja kulingana na matendo yake.+