Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 49:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini Mungu atanikomboa* kutoka katika nguvu za* Kaburi,*+

      Kwa maana atanishika. (Sela)

  • Matendo 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 aliona mapema na kusema kuhusu ufufuo wa Kristo, kwamba hakuachwa katika Kaburi* wala mwili wake haukuona uharibifu.*+

  • Matendo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 lakini mkamuua Wakili Mkuu wa uzima.+ Hata hivyo, Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, nasi ni mashahidi wa jambo hilo.+

  • Ufunuo 1:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nilipomwona, nikaanguka miguuni pake kana kwamba nimekufa.

      Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope. Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+ 18 na aliye hai,+ nami nilikufa,+ lakini tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo na za Kaburi.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki