17 Nilipomwona, nikaanguka miguuni pake kana kwamba nimekufa.
Naye akaweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope. Mimi ndiye wa Kwanza+ na wa Mwisho,+ 18 na aliye hai,+ nami nilikufa,+ lakini tazama! ninaishi milele na milele,+ nami nina funguo za kifo na za Kaburi.+