Ayubu 33:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ameikomboa nafsi yangu isiingie* shimoni,*+Na uhai wangu utaona nuru.’ Zaburi 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana hutaniacha* Kaburini.*+ Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.*+ Zaburi 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+ Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+ Zaburi 86:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkuu kwangu,Nawe umeuokoa uhai wangu* kutoka katika vina vya Kaburi.*+
3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+ Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+
13 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkuu kwangu,Nawe umeuokoa uhai wangu* kutoka katika vina vya Kaburi.*+