Zaburi 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wanguNa yakupendeze wewe,+ Ee Yehova, Mwamba wangu+ na Mkombozi wangu.+ Isaya 38:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama! Badala ya amani, nilikuwa na uchungu mwingi;Lakini kwa sababu ulinipenda sana,*Uliniokoa kutokana na shimo la maangamizi.+ Umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.*+
14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wanguNa yakupendeze wewe,+ Ee Yehova, Mwamba wangu+ na Mkombozi wangu.+
17 Tazama! Badala ya amani, nilikuwa na uchungu mwingi;Lakini kwa sababu ulinipenda sana,*Uliniokoa kutokana na shimo la maangamizi.+ Umezitupa dhambi zangu zote nyuma ya mgongo wako.*+