Ayubu 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana najua vizuri kwamba mkombozi wangu+ yuko hai;Atakuja baadaye na kuinuka juu ya dunia.* Isaya 43:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha makomeo yote ya malango,+Na Wakaldayo, katika meli zao, watalia kwa sababu ya mateso.+
14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha makomeo yote ya malango,+Na Wakaldayo, katika meli zao, watalia kwa sababu ya mateso.+