Ayubu 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtu akifa, je, anaweza kuishi tena?+ Nitangojea sikuzote za utumishi wangu wa kulazimishwaMpaka kitulizo changu kitakapokuja.+ Zaburi 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wanguNa yakupendeze wewe,+ Ee Yehova, Mwamba wangu+ na Mkombozi wangu.+ Zaburi 69:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nikaribie uniokoe;*Nikomboe kwa sababu ya maadui wangu. Zaburi 103:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nafsi yangu na imsifu Yehova;Nami nisisahau kamwe mambo yote aliyotenda.+ Zaburi 103:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Huukomboa uhai wako kutoka shimoni*+Na kukuvika taji la upendo wake mshikamanifu na rehema.+ Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+ Marko 10:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake uwe* fidia badala ya wengi.”+
14 Mtu akifa, je, anaweza kuishi tena?+ Nitangojea sikuzote za utumishi wangu wa kulazimishwaMpaka kitulizo changu kitakapokuja.+
14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wanguNa yakupendeze wewe,+ Ee Yehova, Mwamba wangu+ na Mkombozi wangu.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+
45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake uwe* fidia badala ya wengi.”+