Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mtu akifa, je, anaweza kuishi tena?+

      Nitangojea sikuzote za utumishi wangu wa kulazimishwa

      Mpaka kitulizo changu kitakapokuja.+

  • Zaburi 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Maneno ya kinywa changu na kutafakari kwa moyo wangu

      Na yakupendeze wewe,+ Ee Yehova, Mwamba wangu+ na Mkombozi wangu.+

  • Zaburi 69:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nikaribie uniokoe;*

      Nikomboe kwa sababu ya maadui wangu.

  • Zaburi 103:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nafsi yangu na imsifu Yehova;

      Nami nisisahau kamwe mambo yote aliyotenda.+

  • Zaburi 103:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Huukomboa uhai wako kutoka shimoni*+

      Na kukuvika taji la upendo wake mshikamanifu na rehema.+

  • Mathayo 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+

  • Marko 10:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Kwa maana hata Mwana wa binadamu alikuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake uwe* fidia badala ya wengi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki