Yohana 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, ingawa mimi ni Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ basi ninyi pia mnapaswa* kuoshana miguu.+ Wafilipi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hapana, bali alijiondolea hali yake na kuchukua umbo la mtumwa+ na kuwa mwanadamu.*+
14 Kwa hiyo, ingawa mimi ni Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ basi ninyi pia mnapaswa* kuoshana miguu.+