Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 49:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kinywa changu mwenyewe kitasema maneno ya hekima,

      Na kutafakari kwa moyo wangu+ kutaonyesha kwamba nina uelewaji.

  • Zaburi 51:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ee Yehova, ifungue midomo yangu,

      Ili kinywa changu kitangaze sifa yako.+

  • Zaburi 143:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ninazikumbuka siku za kale;

      Ninatafakari utendaji wako wote;+

      Ninatafakari* kwa bidii kazi ya mikono yako.

  • Wafilipi 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwishowe, akina ndugu, mambo yoyote yaliyo ya kweli, mambo yoyote yaliyo ya hangaiko zito, mambo yoyote yaliyo ya uadilifu, mambo yoyote yaliyo safi kiadili, mambo yoyote yanayopendeka, mambo yoyote yanayosemwa vema, mambo yoyote ya wema wa adili, na mambo yoyote yanayostahili sifa, endeleeni kuyafikiria* mambo hayo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki