Isaya 43:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+Nami sitazikumbuka dhambi zako.+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+
25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+Nami sitazikumbuka dhambi zako.+
18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+