Isaya 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Sasa, njooni, na tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu,Zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+Ingawa ni nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama sufu. Yeremia 50:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Siku hizo na wakati huo,” asema Yehova,“Hatia ya Israeli itatafutwa,Lakini hakutakuwa na hatia yoyote,Na dhambi za Yuda hazitapatikana,Kwa maana nitawasamehe wale nitakaowaacha wabaki.”+
18 “Sasa, njooni, na tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu,Zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+Ingawa ni nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama sufu.
20 “Siku hizo na wakati huo,” asema Yehova,“Hatia ya Israeli itatafutwa,Lakini hakutakuwa na hatia yoyote,Na dhambi za Yuda hazitapatikana,Kwa maana nitawasamehe wale nitakaowaacha wabaki.”+