Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Usikumbuke dhambi na makosa niliyotenda nilipokuwa kijana.

      Nikumbuke kulingana na upendo wako mshikamanifu,+

      Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+

  • Zaburi 79:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Usitufanye tuwajibike kwa sababu ya makosa ya mababu zetu.+

      Tuonyeshe haraka rehema yako,+

      Kwa maana tumeshushwa chini sana.

       9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Kwa ajili ya jina lako tukufu;

      Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+

  • Ezekieli 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini nilichukua hatua kwa ajili ya jina langu ili lisichafuliwe mbele ya mataifa ambamo waliishi.+ Nilijijulisha kwao* mbele ya mataifa hayo nilipowatoa* nchini Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki