-
2 Mambo ya Nyakati 14:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Kisha Asa akamlilia Yehova Mungu wake+ akisema: “Ee Yehova, haijalishi kwako ikiwa wale unaowasaidia ni wengi au hawana nguvu.+ Tusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana tunakutegemea* wewe,+ na katika jina lako tumekuja kupigana na umati huu.+ Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu. Usiache mwanadamu anayeweza kufa akushinde.”+
-
-
Yeremia 14:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Kwa maana matendo yetu ya ukosefu wa uaminifu ni mengi,+
Nasi tumekutendea dhambi.
-