Yoshua 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watakaposikia habari hii, watatuzingira na kufutilia mbali jina letu kutoka duniani, nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+ Zaburi 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa ajili ya jina lako, Ee Yehova,+Nisamehe kosa langu, ingawa ni kubwa. Zaburi 115:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 115 Usitutukuze sisi, Ee Yehova, usitutukuze sisi,*Bali litukuze jina lako+Kwa sababu ya upendo wako mshikamanifu na uaminifu wako.+ 2 Kwa nini mataifa yaseme: “Yuko wapi Mungu wao?”+
9 Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watakaposikia habari hii, watatuzingira na kufutilia mbali jina letu kutoka duniani, nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+
115 Usitutukuze sisi, Ee Yehova, usitutukuze sisi,*Bali litukuze jina lako+Kwa sababu ya upendo wako mshikamanifu na uaminifu wako.+ 2 Kwa nini mataifa yaseme: “Yuko wapi Mungu wao?”+