Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana wewe ni jabali langu na ngome yangu;+

      Kwa ajili ya jina lako,+ utaniongoza na kunielekeza.+

  • Zaburi 79:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Kwa ajili ya jina lako tukufu;

      Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+

  • Zaburi 109:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini wewe, Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu,

      Tenda kwa niaba yangu kwa ajili ya jina lako.+

      Niokoe, kwa sababu upendo wako mshikamanifu ni mwema.+

  • Zaburi 143:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ee Yehova, nihifadhi hai kwa ajili ya jina lako.

      Katika uadilifu wako, niokoe kutoka katika taabu.+

  • Ezekieli 36:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Kwa hiyo, waambie watu wa nyumba ya Israeli, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Sifanyi jambo hili kwa ajili yenu, enyi watu wa nyumba ya Israeli, bali kwa ajili ya jina langu takatifu, ambalo ninyi mmelichafua miongoni mwa mataifa ambako mlienda.”’+

  • Danieli 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ee Yehova, sikia. Ee Yehova, samehe.+ Ee Yehova, sikiliza kwa makini na uchukue hatua. Usikawie, kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jiji lako na watu wako wameitwa kwa jina lako mwenyewe.”+

  • Mathayo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Basi, salini hivi:+

      “‘Baba yetu uliye mbinguni, jina lako+ na litakaswe.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki