Zaburi 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,Wanadamu hukimbilia.+ Zaburi 69:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nijibu, Ee Yehova, kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mwema.+ Nigeukie kulingana na rehema zako nyingi,+ Zaburi 86:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+
7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,Wanadamu hukimbilia.+
16 Nijibu, Ee Yehova, kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mwema.+ Nigeukie kulingana na rehema zako nyingi,+ Zaburi 86:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+
5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+