Zaburi 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+ Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+ Zaburi 145:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova ni mwema kwa wote,+Na rehema zake zinaonekana katika kazi zake zote. Luka 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu akamwambia: “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna aliye mwema, isipokuwa mmoja, Mungu.+
8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+ Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+