2 Na mataifa mengi yataenda na kusema:
“Njooni, twendeni juu kwenye mlima wa Yehova
Na kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.+
Naye atatufundisha njia zake,
Nasi tutatembea katika vijia vyake.”
Kwa maana sheria itatoka Sayuni,
Na neno la Yehova litatoka Yerusalemu.