Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 119:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nifundishe, Ee Yehova,+ njia ya masharti yako,

      Nami nitaifuata mpaka mwisho.+

  • Isaya 30:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ingawa Yehova atawapa taabu kama mkate na ukandamizaji kama maji,+ Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, nawe utamwona Mfundishaji wako Mkuu+ kwa macho yako mwenyewe.

  • Mika 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Na mataifa mengi yataenda na kusema:

      “Njooni, twendeni juu kwenye mlima wa Yehova

      Na kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.+

      Naye atatufundisha njia zake,

      Nasi tutatembea katika vijia vyake.”

      Kwa maana sheria itatoka* Sayuni,

      Na neno la Yehova litatoka Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki