Isaya 55:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mtu mwovu na aiache njia yake+Na mtu mbaya mawazo yake;Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+
7 Mtu mwovu na aiache njia yake+Na mtu mbaya mawazo yake;Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+
18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+ Hutaendelea kuwa na hasira milele,Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+