Kutoka 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu, Isaka, na Yakobo kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kwa jina langu Yehova+ sikujitambulisha kwao.+ Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+
3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu, Isaka, na Yakobo kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kwa jina langu Yehova+ sikujitambulisha kwao.+
18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+