- 
	                        
            
            Kumbukumbu la Torati 32:26, 27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
26 Ningesema: “Nitawatawanya;
Nitafanya ukumbusho wao usahauliwe kabisa miongoni mwa wanadamu,”
27 Isingekuwa kwa sababu ya kuogopa jinsi maadui wangu watakavyotenda,+
Kwa sababu huenda wapinzani wakalielewa vibaya jambo hilo.+
Huenda wakasema: “Nguvu zetu zimeshinda;+
Si Yehova aliyefanya mambo haya yote.”
 
 -