Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 51:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 ‘Babiloni na alipizwe kwa sababu ya ukatili niliotendewa mimi na mwili wangu!’ asema mkaaji wa Sayuni.+

      ‘Na wakaaji wa Ukaldayo na walipizwe kwa sababu ya damu yangu!’ asema Yerusalemu.”

  • Ezekieli 36:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 ‘Kwa hakika nitalitakasa jina langu kuu,+ ambalo lilichafuliwa miongoni mwa mataifa, ambalo mlilichafua miongoni mwao; nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nitakapotakaswa miongoni mwenu mbele ya macho yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki