13 Kwa hakika utainuka na kulionyesha rehema Sayuni,+
Kwa maana ni wakati wa kulionyesha kibali chako;+
Wakati uliowekwa umefika.+
14 Kwa maana watumishi wako wanayathamini mawe yake+
Nao wanayapenda hata mavumbi yake.+
15 Mataifa yataliogopa jina la Yehova,
Na wafalme wote wa dunia utukufu wako.+