Isaya 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova wa majeshi atakwezwa kupitia hukumu yake;*Mungu wa kweli, Aliye Mtakatifu,+ atajitakasa mwenyewe kupitia uadilifu.+ Ezekieli 20:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa sababu ya harufu inayopendeza,* nitafurahishwa nanyi nitakapowatoa kati ya mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi ambazo mmetawanywa;+ nami nitatakaswa kati yenu mbele ya macho ya mataifa.’+
16 Yehova wa majeshi atakwezwa kupitia hukumu yake;*Mungu wa kweli, Aliye Mtakatifu,+ atajitakasa mwenyewe kupitia uadilifu.+
41 Kwa sababu ya harufu inayopendeza,* nitafurahishwa nanyi nitakapowatoa kati ya mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi ambazo mmetawanywa;+ nami nitatakaswa kati yenu mbele ya macho ya mataifa.’+