Kumbukumbu la Torati 9:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama sivyo watu wa nchi ulimotutoa huenda wakasema: “Yehova alishindwa kuwaingiza katika nchi aliyowaahidi, na kwa sababu aliwachukia, aliwatoa ili awaue nyikani.”+
28 Kama sivyo watu wa nchi ulimotutoa huenda wakasema: “Yehova alishindwa kuwaingiza katika nchi aliyowaahidi, na kwa sababu aliwachukia, aliwatoa ili awaue nyikani.”+