1 Samweli 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa ajili ya jina lake kuu,+ Yehova hatawaacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+ Ezekieli 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nilichukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisichafuliwe mbele ya mataifa, walioona nikiwatoa* huko.+
22 Kwa ajili ya jina lake kuu,+ Yehova hatawaacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+
14 Nilichukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisichafuliwe mbele ya mataifa, walioona nikiwatoa* huko.+