Yoshua 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watakaposikia habari hii, watatuzingira na kufutilia mbali jina letu kutoka duniani, nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+ Zaburi 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Huniburudisha.*+ Huniongoza katika njia za* uadilifu kwa ajili ya jina lake.+ Zaburi 106:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,+Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+ Yeremia 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa ajili ya jina lako, usitukatae;+Usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu. Kumbuka, nawe usivunje agano lako pamoja nasi.+ Ezekieli 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nilichukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisichafuliwe mbele ya mataifa, walioona nikiwatoa* huko.+
9 Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watakaposikia habari hii, watatuzingira na kufutilia mbali jina letu kutoka duniani, nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+
21 Kwa ajili ya jina lako, usitukatae;+Usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu. Kumbuka, nawe usivunje agano lako pamoja nasi.+
14 Nilichukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisichafuliwe mbele ya mataifa, walioona nikiwatoa* huko.+