Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 51:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nirudishie shangwe ya wokovu wako;+Chochea ndani yangu utayari wa kukutii.*
7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+