Zaburi 143:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ee Yehova, nihifadhi hai kwa ajili ya jina lako. Katika uadilifu wako, niokoe kutoka katika taabu.+ Ezekieli 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nilichukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisichafuliwe mbele ya mataifa, walioona nikiwatoa* huko.+
11 Ee Yehova, nihifadhi hai kwa ajili ya jina lako. Katika uadilifu wako, niokoe kutoka katika taabu.+
14 Nilichukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisichafuliwe mbele ya mataifa, walioona nikiwatoa* huko.+