Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaka, na Israeli, uliowaapia kwa jina lako mwenyewe na kusema, ‘Nitaufanya uzao wenu uwe mwingi kama nyota za mbinguni,+ nami nitaupa uzao* wenu nchi yote hii niliyowaahidi, ili iwe miliki yao ya kudumu.’”+

  • Mambo ya Walawi 26:41, 42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Basi nikalazimika kuwapinga+ kwa kuwapeleka katika nchi ya maadui wao.+

      “‘Nilifanya hivyo ili mioyo yao mikaidi* inyenyekee,+ na ili walipie dhambi zao. 42 Nitakumbuka agano langu na Yakobo,+ na agano langu na Isaka,+ na pia agano langu na Abrahamu,+ nami nitaikumbuka nchi yao.

  • Zaburi 106:43-45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Aliwaokoa mara nyingi,+

      Lakini walikuwa wakiasi na kukosa kutii,+

      Nao walikuwa wakifedheheshwa kwa sababu ya makosa yao.+

      44 Lakini alikuwa akiona taabu yao+

      Na kusikia kilio chao cha kuomba msaada.+

      45 Na kwa ajili yao alikuwa akikumbuka agano lake,

      Naye alikuwa akiwahurumia,* akichochewa na upendo wake mwingi* mshikamanifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki