41 Basi nikalazimika kuwapinga+ kwa kuwapeleka katika nchi ya maadui wao.+
“‘Nilifanya hivyo ili mioyo yao mikaidi inyenyekee,+ na ili walipie dhambi zao. 42 Nitakumbuka agano langu na Yakobo,+ na agano langu na Isaka,+ na pia agano langu na Abrahamu,+ nami nitaikumbuka nchi yao.