47 nao warudiwe na ufahamu wakiwa katika nchi ya watu waliowachukua mateka,+ na kukurudia+ na kuomba kibali chako wakisema, ‘Tumetenda dhambi na kukosea; tumetenda uovu,’+
20 Aliwachukua mateka na kuwapeleka Babiloni wale ambao hawakuuawa kwa upanga,+ nao wakawa watumishi wake+ na wa wanawe mpaka ufalme wa Uajemi ulipoanza kutawala,+