2 Wafalme 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mfalme wa Babiloni aliwaua na kuwaangamiza huko Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo watu wa Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+ Zaburi 137:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 137 Kando ya mito ya Babiloni,+ hapo ndipo tulipoketi. Tulilia tulipokumbuka Sayuni.+
21 Mfalme wa Babiloni aliwaua na kuwaangamiza huko Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo watu wa Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+