Yeremia 51:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ewe mwanamke unayekaa juu ya maji mengi,+Mwenye hazina nyingi,+Mwisho wako umefika, kikomo* chako cha kupata faida.+ Ezekieli 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi nikaenda Tel-abibu kwa watu waliohamishwa, waliokuwa wakikaa kando ya mto Kebari,+ nami nikakaa huko walipokuwa wakikaa; nikakaa miongoni mwao kwa siku saba nikiwa nimepigwa na bumbuazi.+ Danieli 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Katika siku ya 24 ya mwezi wa kwanza, nilipokuwa kwenye ukingo wa ule mto mkubwa, Mto Tigri,*+
13 “Ewe mwanamke unayekaa juu ya maji mengi,+Mwenye hazina nyingi,+Mwisho wako umefika, kikomo* chako cha kupata faida.+
15 Basi nikaenda Tel-abibu kwa watu waliohamishwa, waliokuwa wakikaa kando ya mto Kebari,+ nami nikakaa huko walipokuwa wakikaa; nikakaa miongoni mwao kwa siku saba nikiwa nimepigwa na bumbuazi.+