Ufunuo 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba+ akaja na kuniambia: “Njoo, nitakuonyesha hukumu dhidi ya yule kahaba mkubwa anayekaa juu ya maji mengi,+ Ufunuo 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akaniambia: “Yale maji uliyoyaona, ambapo yule kahaba ameketi, yanamaanisha jamii za watu na umati na mataifa na lugha.+
17 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba+ akaja na kuniambia: “Njoo, nitakuonyesha hukumu dhidi ya yule kahaba mkubwa anayekaa juu ya maji mengi,+
15 Akaniambia: “Yale maji uliyoyaona, ambapo yule kahaba ameketi, yanamaanisha jamii za watu na umati na mataifa na lugha.+