Yeremia 51:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ewe mwanamke unayekaa juu ya maji mengi,+Mwenye hazina nyingi,+Mwisho wako umefika, kikomo* chako cha kupata faida.+ Ufunuo 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akaniambia: “Yale maji uliyoyaona, ambapo yule kahaba ameketi, yanamaanisha jamii za watu na umati na mataifa na lugha.+ Ufunuo 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeipotosha dunia kwa uasherati* wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake iliyo mkononi mwake.”*+
13 “Ewe mwanamke unayekaa juu ya maji mengi,+Mwenye hazina nyingi,+Mwisho wako umefika, kikomo* chako cha kupata faida.+
15 Akaniambia: “Yale maji uliyoyaona, ambapo yule kahaba ameketi, yanamaanisha jamii za watu na umati na mataifa na lugha.+
2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeipotosha dunia kwa uasherati* wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake iliyo mkononi mwake.”*+