Isaya 45:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nitakupa hazina zilizo gizaniNa hazina zilizofichwa mafichoni,+Ili ujue kwamba mimi ni Yehova,Mungu wa Israeli, anayekuita kwa jina lako.+ Yeremia 50:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kuna upanga dhidi ya farasi wao na magari yao ya vita,Na dhidi ya watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao,Nao watakuwa kama wanawake.+ Kuna upanga dhidi ya hazina zake, nazo zitaporwa.+
3 Nitakupa hazina zilizo gizaniNa hazina zilizofichwa mafichoni,+Ili ujue kwamba mimi ni Yehova,Mungu wa Israeli, anayekuita kwa jina lako.+
37 Kuna upanga dhidi ya farasi wao na magari yao ya vita,Na dhidi ya watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao,Nao watakuwa kama wanawake.+ Kuna upanga dhidi ya hazina zake, nazo zitaporwa.+