Kumbukumbu la Torati 32:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+Atawalipiza kisasi maadui wake+Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.” 2 Wafalme 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Unapaswa kuiangamiza nyumba ya Ahabu bwana wako, nami nitailipizia kisasi damu ya watumishi wangu manabii na watumishi wote wa Yehova ambao Yezebeli aliwaua.*+ Zaburi 79:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+ Na ijulikane miongoni mwa mataifa mbele ya macho yetuKwamba damu iliyomwagwa ya watumishi wako imelipiziwa kisasi.+ Ufunuo 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Furahini kwa sababu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na mitume na manabii, kwa sababu Mungu ametangaza hukumu juu yake kwa ajili yenu!”+ Ufunuo 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu ya manabii na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa duniani.”+
43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+Atawalipiza kisasi maadui wake+Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.”
7 Unapaswa kuiangamiza nyumba ya Ahabu bwana wako, nami nitailipizia kisasi damu ya watumishi wangu manabii na watumishi wote wa Yehova ambao Yezebeli aliwaua.*+
10 Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wao yuko wapi?”+ Na ijulikane miongoni mwa mataifa mbele ya macho yetuKwamba damu iliyomwagwa ya watumishi wako imelipiziwa kisasi.+
20 “Furahini kwa sababu yake, enyi mbingu,+ pia ninyi watakatifu+ na mitume na manabii, kwa sababu Mungu ametangaza hukumu juu yake kwa ajili yenu!”+
24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu ya manabii na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa duniani.”+