Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na Yezebeli+ alipokuwa akiwaua manabii wa Yehova, Obadia aliwachukua manabii 100 na kuwaficha katika mapango mawili, manabii 50 katika kila pango, naye alikuwa akiwapa mikate na maji.)

  • 1 Wafalme 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo Yezebeli akamtuma mjumbe kwa Eliya, akisema: “Miungu na iniadhibu, tena vikali, ikiwa kufikia kesho wakati kama huu sitakufanya uwe kama* kila mmoja wa manabii hao!”

  • 1 Wafalme 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mara tu Yezebeli aliposikia kwamba Nabothi amepigwa mawe akafa, akamwambia Ahabu: “Inuka, chukua shamba la mizabibu la Nabothi Myezreeli,+ ambalo alikataa kukuuzia, kwa maana Nabothi hayuko hai tena. Amekufa.”

  • 1 Wafalme 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa kweli, hajawahi kamwe kutokea mtu yeyote kama Ahabu,+ aliyeazimia kabisa* kutenda maovu machoni pa Yehova, akichochewa na Yezebeli mke wake.+

  • Luka 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hakika, je, Mungu hatawatendea haki watu wake waliochaguliwa ambao wanamlilia mchana na usiku,+ huku akiwaonyesha subira?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki