Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na kana kwamba lilikuwa jambo dogo kwake kutembea katika dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, hata alimwoa Yezebeli+ binti ya Ethbaali, mfalme wa Wasidoni,+ akaanza kumwabudu Baali+ na kumwinamia.

  • 2 Mambo ya Nyakati 22:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ahazia alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa mwaka mmoja huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Athalia+ mjukuu wa* Omri.+

      3 Yeye pia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu,+ kwa maana mama yake alikuwa mshauri wake katika kutenda maovu.

  • Ufunuo 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Hata hivyo, nina jambo hili dhidi yako, kwamba unamvumilia yule mwanamke Yezebeli,+ anayejiita nabii, naye anafundisha na kuwapotosha watumwa wangu wafanye uasherati*+ na kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki